Jumatatu, 25 Aprili 2016

BAADA YA KUTUMIA VIPODOZI (LOTION, CREAM, MAFUTA NK) PUMZISHA NGOZI YAKO
Unashauriwa kuosha ngozi yako na kuondoa vipodozi vyako vyote (lotion, mafuta, cream nk) na kuiacha ngozi yako ikiwa free ili iweze kupumzika na kupumua vizuri. Osha kabisa vipodozi na uchafu wote utoke usoni au sehemu nyingine ya ngozi kisha baki hivyo kwa angalau masaa 6 kwa siku, either masaa 6 mfululizo au masaa 3 kutwa mara 2.
Ngozi yako itapata muda wa kupumua vizuri, kupumzika na kujijenga vizuri zaidi.
S&E Beauty Solutions inakutakia kila la kheri katika matunzo na uzuri wa ngozi yako
Ujumbe huu umeletwa kwako na
S&E Beauty Solutions
Wataalam na washauri wa Afya, Urembo Na Vipodozi
0 659 528 724 , 0 784 082 847

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni